Beninyo wa Dijon

Sanamu yake.

Beninyo wa Dijon (kwa Kilatini: Benignus; kwa Kifaransa: Bénigne, Benin na Broingt; Smirna, leo nchini Uturuki, karne ya 2 - Dijon, leo nchini Ufaransa, 179) alikuwa padri ambaye aliinjilisha mkoa wa Burgundy na hatimaye alifia dini ya Ukristo huko[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Novemba[2][3].

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/90416
  2. Martyrologium Romanum
  3. Ed. Rossi-Duchesne; cf. Acta Sanctorum, November, I, 138.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne